Showing posts with the label VIFARANGAShow All
HATUA KWA HATUA JINSI YA KULEA VIFARANGA

Andaa banda lako liwe safi na lililo puliziwa dawa ya kuuwa wadudu na bacteria mfano V-rid au TH4 zoezo hili lifanyike mapema week 2 kabla ya kuleta vifaranga mlangoni weka maji ya kukanyaga yenye dawa ya farm guard  Andaa sehemu…

NAMNA YA KUTENGENEZA CHAKULA CHA KUKU

🛑vyakula vya kuku  huandaliwa kulingana na umri wa kuku, Bata maji ...Bata mzinga n.k 🟠Kuna aina kadha katika uandaaji chakula 🛑Kuku wa mayai _1️⃣Chakula cha kuanzia vifaranga wakiwa siku moja hadi wiki 8        kinaitwa (chic…

MAMBO YA KUZINGATIA KWA VIFARANGA SIKU 30 MPAKA 60

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓  Yapo mambo muhimu ya kuzingatia siku  za mwanzo kwa vifaranga wako ili wakue vyema na kukuletea matokeo chanya.  ✔️ Banda liwe Safi na liwe linatosha kwa vifaranga kulingana na square meters pendekezwa.  Wasibanan…

MUHTASARI KUHUSU UTUNZAJI WA VIFARANGA

*Swali* : *Unaposema utunzaji wa vifaranga unamaanisha nini.*   *Jibu* : Ni hatua inayofuata baada ya yai kutotolewa , na Uleaji wa vifaranga ni jumla ya mambo yote yanayofanyika kwaajili ya kuhakikisha kifaranga anakua vema h…

JINSI YA KUTENGENEZA SEHEMU YA KULELEA VIFARANGA/ BROODER

MAANDALIZI YA SEHEMU YA KULELE VIFARANGA/ BROODING AREA 👆Brooder ( kinengunengu), hii ni sehemu ya muhimu sana , na yakuzingatia sana wakati wa malezi ya vifaranga  SIFA ZA BROODER 👉Joto lakutosha 👉Randa/matandazo 👉Maji 👉Cha…

MAELEKEZO MUHIMU SANA

MAFUNZO MBALI MBALI RAHISI NA HALISI KWA MFUGAJI  ULISHAJI 👉Lisha kuku muda mmoja kila siku, usibadilishe badilishe ratiba 👉Usibadilishe badilishe chakula 👉Usiwapunje wala kuzidisha chakula 👉Wawekee vyombo vya kutosha 👉Maji …

ZINGATIA YAFUATAYO KULEA VIFARANGA

MAKALA JUU YA VITU VYA KUZINGATIA WAKATI WA KUPOKEA VIFARANGA ULEAJI WA VIFARANGA/BROODING ni moja ya sehemu muhimu ya  kuzingatia sana kwaajili ya kuku wenye ukuaji mzuri na uwezo mzuri wa kutaga. SIFA ZA KIFARANGA BORA ==Kifara…

KUKU KULEMAA MIGUU, KUSHINDWA KUSIMAMA

KUKU KULEMAA MIGUU, KUSHINDWA KUSIMAMA Hii ni moja ya changamoto kubwa ambayo imekua ikijitokeza kwa wafugaji wengi, wadogo, wakati na wakubwa. Na matatizo haya yamekua yakitofautiana kujitokeza kulingana na umri wa kuku husika. …

MAKALA JUU YA MAYAI/YA KUKU NA UTOTOLESHAJI

Mayai ya kuku huanguliwa kwa siku 21 kabla ya vifaranga kutotlewa  ilhali bata  hutotoa baada ya siku 28 Uatamiaji wa asili na utotoleshaji vifaranga: Mayai kwa ajili ya kuatamiwa ni lazima yawe mapya; 1)      Umri wa mayai baada…

  SOMO : KULEA VIFARANGA  SEHEMU YA 2 MAANDALIZI YA KUPOKEA VIFARANGA.

Karibu ndugu mfugaji tuendelee pale  tulipo ishia hii ni sehemu ya 2maandalizi ya kupokea Vifaranga. Maandalizi kabla ya kupokea vifaranga : Inashauriwa vifaranga walelewe katika chumba maalum hadi umri wa majuma manne. Chumba ki…

JINSI KULEA VIFARANGA (1)

SOMO:KULEA VIFARANGA SEHEMU YA 1: BANDA BORA LA VIFARANGA Habari ya uzima ndugu mfugaji! Huu ni mwanzo wa somo la kulea vifaranga , tutajifunza ujenzi wa banda la vifaranga, vitu vya muhimu katika banda la vifaranga, kujiandaa ku…

Load More That is All