Showing posts with the label BANDAShow All
SIFA ZA NYUMBA YA KUKU.

NYUMBA YA KUISHI KUKU/POULTRY HOUSE Kwanini nimeamua kuita nyumba ya kuishi kuku/poultry house. Sababu ni kwamba sehemu kuku anapoishi panatakiwa kuwa na vigezo vyote stahiki, ili kumpa kuku uhusu wa kuishi, na kumkinga dhidi ya …

JENGA BANDA BORA LA KUKU

NYUMBA YA KUISHI KUKU/POULTRY HOUSE Kwanini nimeamua kuita nyumba ya kuishi kuku/poultry house. Sababu ni kwamba sehemu kuku anapoishi panatakiwa kuwa na vigezo vyote stahiki, ili kumpa kuku uhusu wa kuishi, na kumkinga dhidi ya …

MAMBO YA KUFANYA BANDANI

ZINGATIA YAFUATAYO KWA UFUGAJI SAHIHI. Kama mtaalamu nimeona vema nikuletee mwongozo au utaratibu ambao utakupatia matokeo sahihi wakati unafuga kuku. Yafuatayo yanapaswa kufanyika kwa mujibu wa  ushauri ninaotoa, kama kuna mtaal…

MUHTASARI WA UFUGAJI KUKU KWA MUJIBU WA KAHISE GREYSON.

1: Maandalizi ya banda la kuku, Fagia, deki kwa maji, pulizia dawa/disinfection (Th4, V rid,Farm guard nk). Acha banda likae zaidi ya siku 7 baada ya kutoa kuku wakubwa kabla ya kuingiza kuku wengine. Andaa vifaa vyote muhimu kwa…

UTUNZAJI RANDA BANDANI

MATUNZO YA RANDA Kwetu Tanzania zipo aina kubwa mbili za randa au matandazo ya kuku ambazo zimekua zikitumika Randa za mbao Pumba za mpunga. Kwa kuku wa umri wowote (kifaranga na wakubwa)  ni muhimu sana kuwawekea randa Kwanini u…

UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA (BROILER). KATIKA ENEO DOGO LISILOZIDI MITA 1. KWA KUKU 100.

*Eneo linalohitajika ni mita mbili (2), Kwa maana ya Urefu wa mita mbili(2) na Upana wa mita moja(1). Huu ni ufugaji wenye tija kwa wale wafugaji wenye eneo dogo. *Kinakachofanyika katika hilo eneo ni ujenzi wa ghorofa/shelves ta…

MAKALA JUU YA MAANDALIZI YA BANDA

mwandishi: Greyson kahise...mtaalamu wa ufugaji wa kuku.  Kuku ni viumbe ambao wanahitaji matunzo mazuri ili waweze kuzalisha mayai au kukua vizuri  YAFUATAYO YANATAKIWA KUZINGATIWA WAKATI WA MAANDALIZI YA BANDA ==Banda zuri la …

Load More That is All