Mpaka sasa nime Fanya research ya Formula ya kutengeneza chakula cha kuku naiuza 20000 na sikosi wateja Huwa naandaa business plan za kuku based industry ila kwa namna ya kusaidia bei kuanzia 30 kubwa kabisa nimewahi kulipwa 120 …
Hellow Hii every one Kama nilivo tambulishwa na coordinator naitwa Greyson Kahise (MTAALAMU WA KUKU ) Mimi baada ya kusomea wanyama na kufanya field zangu zote kwenye makampuni makubwa kama Silverland( Iringa na Mangara Dairy( Ta…