🛑vyakula vya kuku huandaliwa kulingana na umri wa kuku, Bata maji ...Bata mzinga n.k
🟠Kuna aina kadha katika uandaaji chakula
🛑Kuku wa mayai
_1️⃣Chakula cha kuanzia vifaranga wakiwa siku moja hadi wiki 8 kinaitwa (chick starter / chick mash)_
*Mchanganyiko wake*
🔹Paraza 30kg
🔹pumba 10kg
🔹mashudu 15kg
🔹dagaa 15kg
🔹soya 15kg
🔹Mifupa 10kg
🔹Chumvi 0.5kg
🔹Amino acids 2kg
🔹Toxic binder or ridocox 2kg
🔹Layers premix 1.5kg
+vitamin 2%
*Amilitotal*
_2️⃣Chakula cha kukuzia kuku kuanzia wiki ya 9 hadi wiki 16(Grower mash)_
*Mchanganyiko wake*
🔹Paraza 38kg
🔹pumba 15kg
🔹mashudu 15kg
🔹Dagaa 9kg
🔹uduvi 1kg
🔹soya 9kg
🔹Mifupa 5kg
🔹chokaa 4kg
🔹Dcp 1.5kg
🔹chumvi 0.5
🔹Amino acids 0.5kg
🔹Vigostrart or ridocox 2kg
+
Vitamin 3%
Multvitamin
_3️⃣Chakula cha mwisho wakiwa wakubwa sasa wanaelekea kutaga au wakiwa wanataga kuanzia wiki 17+--- kuendelea kinaitwa (layers finisher mash)_
*Mchanganyiko wake*
🔹Paraza 35kg
🔹pumba 10kg
🔹dagaa 12kg
🔹soya 15kg
🔹Uduvi 1kg
🔹Mashudu 15kg
🔹mifupa 6kg
🔹DCP 2kg
🔹chokaa 3kg
🔹chumvi 0.5kg
🔹layers premix 2kg
🔹 amino acids 1kg
🔹Toxic binder au Ridocox 2kg
+
VITAMIN 6% -Egg booster
-Lay vita
*🛑Kuku wa nyama*
_Kwa upande wa broilers hupewa aina mbili vyakula unapoandaa broiler starter na broiler finisher_
_1️⃣ Broiler starter hiki ni chakula Cha kuanzia wakiwa siku 1 hadi siku 30_
🔹Protini 23-25 kg
🔹lipids 15kg
🔹Wanga 45kg
🔹Madini 12kg
*Mchanganyiko wake*
🔹Paraza 33kg
🔹pumba 10kg
🔹mashudu 15kg
🔹dagaa 15kg
🔹soya 15kg
🔹mifupa 10kg
🔹broiler premix 130g ...
🔹amino acids 150g...
🔹Chumvi 0.5kg
🔹Vigostrart or ridocox 2kg
+
VITAMIN 5% ni Muhimu sana.
2️⃣Broiler finisher hiki ni chakula Cha kumalizia kuanzia wiki ya 5 hadi 8 lazima uwatoe.
*🟠Mchanganyiko wake*
🔹Paraza 39kg
🔹soya 15kg
🔹dagaa 10kg
🔹Mashudu 20kg
🔹Mifupa 8kg
🔹chokaa 4kg
🔹Dcp 1kg
🔹chumvi 0.5kg
🔹Amino acids
-lysine 0.35kg- methionine 0.35kg
🔹Broiler premix 2kg
🔹Ridocox 2kg
➕
VITAMIN 5% Mfano broiler booster...growth promoter n.k
0 Comments