1:Chanjo inatakiwa kutolewa wakati sio wa joto kali hvyo mda mzuri ni Asbh saa12-1 na jioni kuanzia saa11-12 jioni
2:Chanjo nyingi za kuku hutumika kwa masaa2 tu isizdi zaid yahapo
3:Chanjo inatakiwa isizid kukaa ktk Nyuz joto 8°c
4:Chanjo yapaswa isikutane na miale ya Jua wakati inatumika
5:Chanjo yapaswa kutolewa kwa kuku aliemzima wa afya njema,Usimpe kuku mgojwa chanjo
6:Chanjo yatakiwa kutolewa na mtalaam wa mifugo(Dr special of animal)
7:Chanjo yayakiwa kufunguliwa ndani ya maji kuimalisha ubora wake zaidi
8:Chanjo za maji unapowapa vifaranga jitahid Kutomwagika Bandani
9:Chanjo ikifunguliwa na kutumika hairudiwi tena inakua imeisha kazi yake
10:Chanjo Kabla hujaichukua dukani soma maelekezo yake yote kwa kina.
0 Comments