Hizi ni mbegu asili ambazo hupatikana sehemu husika na maisha yao ni ya kawaida
*ULISHAJI CHAKULA*
Hutegemeana na jinsi ulivo wafuga ikiwa unawafuga ndani kisasa zaidi huhitaji chakula maalumu chenye virutubisho vyote ....
Ikiwa unawafuga nusu ndani nusu nje maana yake wanga utazidi sana vyakula vingine kidogo sababu rahisi kujipatia nje vitamin ...protini ...madin n.k lakini hutegemea eneo la nje linaukubwa gani au uko wapi
Mjini maeneo hayakizi sana kuku wa KIENYEJI kujitawala tofauti na vijijini kuku wanafika mbali kutafuta liziki na kurudi tena wakiwa na shibe nzuri na Bora
Ikiwa uko sehemu ya wazi Kama pembeni mwa mji au kijijin usitumie lishe ila hakikisha shibe ndogo ya ziada na vyakula baadhi kwa mbali
*KIENYEJI WANAFUGWA KISASA*
🟠Namna ya kuandaa chakula
Paraza 36kg
Pumba mahindi 21kg
Uduvi 3kg
Soya 10kg
Mashudu 15kg
Mifupa 10kg
DCP 2kg
Chumvi 0.5 kg
Layers premix 0.5kg
Vigostrart 1kg
Amino acids 1kg
➕ VITAMIN 5%
vitamin za viwandan na mboga mboga yaani mboga majani
0 Comments